CANANI

AFYA YAKO KWANZA

JE UNATAKA USHAURI AU DAWA ZA ASILI PIGA 0763371047

Sunday, July 14, 2019

undefined 201

FAIDA MPYA YA MMEA WA MCHAICHAI

  Ukitaka kuwafukuza Mbu wanaoleta ugonjwa wa Malaria nyumbani kwako panda Mmea wa Mchaichai au weka huo Mmea ndani ya nyumba yako kama pambo basi Mbu hawata sogea nyumbani kwako utakuwa umewaweza Mbu wana uchukia huo Mmea wa Mchaichai. Haya nimewapeni Dawa ya bure hiyo kazi kwenu. FAIDA YA KUTUMIA MCHAICHAI KAMA...
undefined 201

ZIJUE FAIDA ZA MAJANI YA MPERA KWA AFYA YAKO BINAFSI

  Majani ya mpera yana faida kiafya kama tunda la pera. Majani ya mpera yana virutubisho vya kuzuia uvumbe na tannins zinafaida nyingi kiafya ikiwemo kutibu maumivu ya tumbo pamoja na ugonjwa au magonjwa ya kansa. Faida ya majani ya mpera ni kama yafuatayo; KUPUNGUZA MAFUTA MWILINI - Matumizi ya majani ya mpera...
undefined 201

Faida tano za kutumia Mlonge

  Moringa maarufu kama Mlonge ni miongoni mwa miti muhimu kuliko yote duniani. Mti huu ukuao haraka hupandwa katika maeneo mengi na hutumika kama chakula cha binadamu, lishe ya mifugo, tiba mbadala na kusafisha maji. Hizi ndiyo faida za mmea huo ambao unatibu maradhi mbalimbali: 1. Mti wa Mlonge husaidia watu...
undefined 201

NJIA YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KIRAHISI KABISA

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume haraka Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana. Katika kilele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa, kama inavyojulikana, ni sherehe inayopatikana katika tendo lenyewe...
undefined 201

Faida ya kutumia Tangawizi katika mwili wa binadamu

  Tangawizi ina faida nyingi sana kwa mwili wa mwanadamu. Baadhi ya faida hizo ni kama ifuatavyo : 1. Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni,. 2. Kutibu tatizo la gesi tumboni 3. Kuondoa tatizo la msokoto wa tumbo (bila kuharisha) 4. Husaidia kuzuia kutapika. 5. Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli), 6. Maumivu...
Page 1 of 11